Waamini wana lombewa ku kabula Yesu na dunia

Translate Page
Waamini wana kuya na daraka ya kufanya wafunzi, Mkutano iri ambiliwa.

Waamini ya Kanisa ya Methodiste wari pata mashauri kati kati ya ujumbe ya waamini mu siku ya juma kama ivi wana kwa na daraka ya kuleta wafunzi kwa Kristu mu dunia.

Ujumbe iyi iri letewa kwa viogozi kutoka ma conference ya Upper New York, Virginia, Missouri, Tennessee, ZImbabwe na Great Plains, na kila kiongozi ari lomba waamini mu kila kanisa mu dunia mujima, kuharaka ku onecha mapendo na neema inapatikana kwa watu wote kupitia Yesu Kristu.

"Maagumu yetu inatoka ku biote bile bina lombesha kuya mwanafunzi," Scott Johnson, kiongozi ya waamini ya conference ya Upper New York arisema. "Sasai, iritakuya muzuri kama bu mwanafunzi buri kuya paka fuhara, amani na ajabu. Lakini tunajua asema kumu fwata Yesu ayina    kupanda ku milima, kwimba mimbo na kula tshakula."

Johnson ariaambia wajumbe na wageni asema ata kama tuko na ona  vintu vizuri bina patikana ndani ya kanisa, ma namba ya kanisa -- saa kupunguka kwa watu mu kumwabudu Yesu mu ma kanisa -- tunahitiwa kufanya mingi. Arisema pachipo kubaficha ba waamini.

"Mambo ya mu kanisa inatokeya mu kushindwa kuishi maicha ya unafunzi sisi tunasema," Johnson arisema.

Wakristu mingi ya kanisa, Johnson arisema, bana tchakula ku toka mu ma ministeres, dju watu mingi wanakwa na usumbufu ya ku ongeya imani yabo mwa Yesu. Ari ongeza tena vile kazi iko nguvu pale watu awapende ku ongoza wale awana teketeke kou onesha mapendo.

"Wegine apa waritshika ma tabia ya vile dju ya boka,"akasema. " Mala ya mingi, tuta itchika watu wale wanapenda kuyaja kanisa na kutowa, tuna waziya kama 'Bia Yesu' bita fika siku moya. Wakati tuna sababu muzuri kufania vile, Mungu wetu ana lomba na anastahili vintu vizuri."      

Ilio bakiya iri leta mawazo ya kubadilisha vintu mu kutumikiya mifano ili upate ku Ministeres ya ba Disciples ya Kanisa ya Methodiste. Ile mawazo inakuya sawa kukaribishana, ku ongeya Yesu na wantu wegine, kutoa madhumuni ya maisha na ku ingizana mu ndunia karibu nachiye.

Kukaribisha, na ku sadaka Kristu

Warren Harper, kiongozi ya waamini ya Conference ya Virginia ariambia harishi ya mukana yake wa miaka mbiri (2), Chase, ule Harper akasema, anatangaza bile biote ana penda ku ambiya wegine. Butayari ya ku ongea kufutiriya the Great Commission katika Mathayo 28:16-200 iko na muna ya ku karibicha wa ngeni na ku wa onesha mahusiano na Mungu.

Harper arisema kupitiya kukaribishana, watu beko na kutana na Mungu na wana weza kupata maana ya kwa mu kanisa.

"Vintu bia vile bina weza kutupeleka mu duniani mujima, aho kutambuka ndjiani pebeni nasii," Harper arisema.

Johnson ari ongoza kwanziya awali ya Kristu kufika paka na kukabula mapendo ya Kristu mu ndunia. Arisema, mara ya mingi watu wana tumika paka mu na muna inaba furahicha. Aka uliza kama waamini wengine wana kuya pale wakati awana kintu kingine ya kufanya aho wana kuya pale bana icha makazi igine ya teketeke.  

"Bufuasi ayina paka kusaiidiya pale tuko na wakati aho nguvu," arisema. "Ni ku sadaka Kristu."

Kutafuta kusidi

Brian Hammon, kiongozi wa waamini wa mu Conference ya Missouri, ari lomba watu wende mu ndani ya ma kanisa yabo na wapate namuna ile kanisa ita endelea kumutumikia Kristu. Arianza maelezo yake na kusema vile ana furahi kuya muaamini wa Kanisa ya Methodiste, na aka lomba wote ya kuye pamoya na wa furahi kuha waamini ya Kanisa moya.

Arisema kanisa inaweza kubakiya ya kweri kama ina tchunga mafundisho ya Yesu.

"Mina furahi ku mutoa Yesu dju mina amini kwamba Roho ya Mungu ina ishi na ina tembeya, na ina unganisha ma siku ya zamani na ma siku ya kuya pamoya na matumaini ile inatupatiya usudi," Hammon arisema.    

Holly Neal, kiongozi wa waamini wa mu Conference ya Tennessee arisema, kuwalea watu katika ibada, masakramenti na masomo ya kiroho inaleta kusudi.

"Tuna itiwa sisi wote saa kanisa ku sayidiya watu kupata hisia ya kusudi mu maisha sawa banafunzi kwa kudjifundisha maana ya kuishi imani kupitiya mitendo ya ucha ya Mungu na neema, ku kabula imani na kutumika," Neal yeye sema.

Arikumbuka ma kazi mingi iritokea ndani ya kanisa, kama vile kutoa ma nguo na ma fwachi kwa kabale bayiko nayo, na ku isha mi mkutano ya kundji ya watu walifwania bintu mubaya.

Kuyingisha dunia

Wakati watu wana onana na Kristu, wanapata fwachi ya kutumikia na wanapata lengo yabo mu kanisa, Simon Mafunda, kiongozi wa waamini wa mu Conference ya Zimbabwe, arisema waamini wanapasha kuya pamoya na dunia aho.

Mafunda arisema kuyingisha bengine ni kuya tayari kutoka pale peko pazuri dju yaku bonesha Kristu. Arisema kitendahuili ya rafiki yake wakati arionana na wajumbe ku Conference ya Nations Unies ya Sheria ya Mahi. Rafiki yake ari onana na watu wa rangi igine, warizungumuza ma lugha mingi -- wote wari tumika pamoya mu roho moya.

"Ayina mambo ya mbari. Ayina mambo na mali. Ayina mambo ya rangi,"Mafunda arisema.

"Lakini ina kuya mapendo. Tunaweza, kubadilisha dunia iyi kama tunakuya mikulu, mikono, mashikio na macho ya Yesu Kristu."

Courtney Fowler, kiongozi wa waamini wa mu Conference ya Great Plains ari ongoza Mkutano mujima mu maombi na arikumbusha waamini wote mafaa ya kutumika mu kanisa. Arisema vile watu ba mukanisa bana chikia biriyo ya dunia iyi lombecha Mukuno ya Mungu, waamini wana pacha fania mingi kuleta mapendo na neema ya Kristu mu kila mukini, jirani na nyumba.

"Ni lazima kwenda na kukaribisha ba ngeni katika kanisa yetu," Fowler arisema. "Ni lazima kwendo na kuricha wale weko njalaa. Ni lazima kwenda na kutoa uponyaji kwa wagonjwa na bale beko na magumu. Ni lazima kwenda na kutafuta bale beko bapeke. Mahitaji iko munene. Tunamishikiya mweye muna ita, na ni lazima kwenda."

Sign up for our newsletter!

Subscribe Now
General Conference
Musicians lead singing on May 12 during morning worship at the United Methodist General Conference in Portland, Ore. Photo by Paul Jeffrey, UMNS.

GC2016 wrap-up: Farewell, Portland. Thanks for the doughnuts.

General Conference 2016 skirted division over human sexuality and focused on a wide range of matters.
General Conference
The Rev. Susan Henry-Crowe of the United Methodist Board of Church and Society addresses the 2016 United Methodist General Conference May 16 in Portland, Ore. Crowe helped present the report on the denomination's Four Areas of Focus for ministry. Photo by Mike DuBose, UMNS

Legislation promotes expanded health care for Native Americans, other minorities

Legislation adopted by the United Methodist General Conference could support efforts to improve health care for Native Americans.
General Conference
General Conference 2016 Logo

Bid to divest from settlements fails

Israel-related amendment on socially responsibility investing fails, but General Conference supports advocacy letter for Palestinian village.

United Methodist Communications is an agency of The United Methodist Church

©2024 United Methodist Communications. All Rights Reserved