Kanisa ina furahiwa kutolewa ya opposant Congolais

Translate Page
Evangeliste wa kanisa ya Methodiste na mbunge wa zamani anatoka gerezani ya Ndolo.

Opposant politique ule arikwa na tangaza Yesu Kristu mu buloko anapata uhuru yake mu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo badaa miyeji 16 mu gerezani - miyeji 4 mu prison militaire.

Vano Kalembe Kiboko – evangeliste laique wa kanisa ya Methodiste, homme d'affaires na politicien wa zamani – arikwa mu buloko kwa ile Organisation ya Droits de l'Homme irisema kusadiki yake kurikwa base pas madai ya bongo.

Mukini ya shida

Fujo isha teswa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, inchii munene saa magharibi Ulaya katika utajiri wa madini Afrika. Taifa iriteswa utawala wa kikoloni chini ya Mfalme Leopold II wa Belgique, na chini ya dictateur Mobutu Sese Seko, na mu miaka ilipitwa vita ya kikatili makundi qui waasi na majeshi kutoka inchii ingine ya Afrika kukombana mu Congo. Ilee vita ya miyaka tano iruwa milioni sita (6).

Rais Joseph Kabila alichukwa madaraka mwaka ya 2001 baada ya ku uawa mpenzi ye mwana baba, Laurent Kabila.

"Uongozi wa rais irii leta utulivu mu inchii, Kenneth Roth na Ida Sawyer ba Droits de l'homme badaa ya ku unana na rais mwaka ilipita.

Wao na ba observateurs wegine wanaogopa uchakuzi ya mu 2016 kufwatana na election ya rais katika uongozi.

Watu 40 walikufa katika mweji ya Januari 2015 wakati vikosi bia usalama birienda kuzimwa maahougano ju ya kuchelewesha elections ya 2016 ya rais. Tangu ile wakati, wa activists wengine wa libambiwa na weko gerezani.

Wiki iliyopita, Moise Katumbi --rais wa club ya futbol na gouverneur wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo tajiri kanda aridii tangazwa kuya rais ku butshakuzi ya 2016.   

Atudjuwe bado kama ushaguzi ita enda mbele mou mweji ya Novemba. Commission Electoral Independante (CENI) irii sema itatshukuwa mieji 13 dju ya enrollement ya wantu wote.

Ni vilele djo Vano Kiboko arienda gerezani na akapata sasa uhuru.

Byote biribadilisha le 05 ya mwezi wa Mai, ba autorites baka mu liberer Kiboko.

Ndugu yake mwana muke -- Reverand pasteur J. Kabamba Kiboko, membre wa conference ya Texas anatumikiya mu conseil judiciaire -- arisema ile mashiku 492 Vano Kiboko aripita mu gerezani,  barishikia saa barikwa mu fwashi ya shipo nuru.

"Mirishikiya saa namiye baneni bamba mais turikwa pa moya mu malombi, ngunvu pa moya,"ari bambia ba Service Ya Tarifa ya kanisaa ya Methodiste. "Mirishikiya saa pale arikwa chini, mirikwa namiye chini na Mungu arianza kumu linda yeye, na miye vile vile."

Pasteur Kiboko anawaziya yeye na ndugu yake barikwa na buchungu moya pale arikwa mu buloko. "Tuko pa moya,"arisema. "Utawaziya kama tuko ba mapassa mais atuna ata. Mina shikiyaka butshungu yake, na ana shikiyaka bwangu."ario ngeza.

Reverand Kiboko arimwabiya ndugu yake Vano Kiboko alombeshe ma visas ya ku onana na ba mungaga bake ba mu Etats-Unis, mu Belgique, na mu Afrique du Sud. "Eko nguvu sanaa mu malombi mais sante yake ayina muzuri" Pasteur Kiboko arisema, anawaziya bari mu empoisonne ndugu yake pale arikwa mu prison.

Eveque wa conference du Sud, Kainda Katembo, ule ari mutshakuwaa Vano Kiboko sawa evangeliste laique mu mweji ya Juillet 2014, anasema yeye na ba Methodistes begine "bana pika Aksanti kwa Mungu vile anapata uhuru yake". "Kurikwa malombi mingi ya bantu ya kanisa."

Kumkamata na kuashiriwa

Vano Kiboko ari bambiwa mu mweji ya 2014 Desemba le 29 kuko ba services ya renseignements. Ku mbambiwa kwake kulifwata ma tangazoo yalufuu ya muke moya balii ouwa mu mweji ya Desemba siku ya nane. Ule mouke alikuwa activiste. Mu tarifa moya moya, Vano Kiboko arisema miia ndiko ya sheria ayifayi kuyi badirisha dju ya ku mu ongezeya rais Joseph kabila miiyaka mipia.

Mu mweji ya Septemba siku ya le 15, beniye sheria bari mu katiya Kiboko miyaka tatu (3) "dju ali ambiya watu bashi tshakuwe kabila ingine, nakusema mbongo." Jamaa yake na Organization ya Droits de l'Homme barikatala ile misemo ya serikali.

Ndani ya buloko, Kiboko ali edeleya na kazi ya Baba Mungu. Saa Paulo na Silas, ali ona mukono ya Baba Mungu ilii tenda. Ariendeleya na ku ubiri kila juma, na jamaa yake irileta tshakula ya agape ya watu yote. Kati kati ya ile kanisa, watu 700 na bia ulou mu ile bouloko ba ka itikaa Yesu Kristu, na Kiboko pamoja na baraka ya eveque, ali batizaa mbantu kupita 300. Ba fungwa ba kaa ita ile kanisa, "Vano Ministries"

Mu mweji ya Janueri, serikali iri mu peleka Vano Kiboko ku gerezani ya ba militaires kule aripata vuizio bia nguvu. Ashi kuweze tena ku lomba Mungu awa ku sayidiya ba fungwa mbegine.

Ba ndungu yake aba kwatche kumu semeya, na ku lomba Kanisa ya Methodiste iyiter ba serikali kwa ku mwatshiriya ndugu wawo. Warikuwa nadi uliza dju ya uzima yake kwavile asi kupate ma dawa ya diabetes and na tshakula.

Conseil General ya Ministeres ya kanisaa ya Methodiste iri mou lombe Vano Kiboko. Conseil General irituma muntu moja ku patana na Kiboko mou buloko mweji ya tano ya mwaka ilipita.

Viongozi wengine wa kanisa ya Methodiste mu dunia wa lii endeleya ku tumika mukono kwa mukono dju ba mwa tshiliye.

"Tuna furahiwa kabisa na tu nasema aksanti kusikiya habari muzuri ya Vano Kiboko kuikomboa." vile arisema kiongozi wa Conseil General ya Ministeres, Thomas Kemper.  

"Katika imani yake mu buloko, Conseil General ya Ministeres irii lomba, irii mu tembeleleya na irii zungumuza na ba uongozi ya serekani na ba mu kanisa. Kulikwa yote, matumaini na imani ya Vano ilii mu tshunga saa arikwa baraka kwa wafungwa wengine.  

Sign up for our newsletter!

Subscribe Now
General Conference
Musicians lead singing on May 12 during morning worship at the United Methodist General Conference in Portland, Ore. Photo by Paul Jeffrey, UMNS.

GC2016 wrap-up: Farewell, Portland. Thanks for the doughnuts.

General Conference 2016 skirted division over human sexuality and focused on a wide range of matters.
General Conference
The Rev. Susan Henry-Crowe of the United Methodist Board of Church and Society addresses the 2016 United Methodist General Conference May 16 in Portland, Ore. Crowe helped present the report on the denomination's Four Areas of Focus for ministry. Photo by Mike DuBose, UMNS

Legislation promotes expanded health care for Native Americans, other minorities

Legislation adopted by the United Methodist General Conference could support efforts to improve health care for Native Americans.
General Conference
General Conference 2016 Logo

Bid to divest from settlements fails

Israel-related amendment on socially responsibility investing fails, but General Conference supports advocacy letter for Palestinian village.

United Methodist Communications is an agency of The United Methodist Church

©2024 United Methodist Communications. All Rights Reserved